Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kisha Yehova Mungu akasema: “Tazama mtu huyu amekuwa kama sisi kwa kujua mema na mabaya.+ Sasa ili asiunyooshe mkono wake na kuchukua pia matunda kutoka katika mti wa uzima,+ naye ale na kuishi milele,—”

  • Mwanzo 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi akamfukuza mtu huyo, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni makerubi+ na upanga unaowaka uliokuwa ukizunguka mfululizo ili kuilinda njia ya kwenda kwenye mti wa uzima.

  • Ufunuo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yule aliye na sikio na asikie yale ambayo roho inayaambia makutaniko:+ Yule atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kula matunda ya ule mti wa uzima,+ ulio katika paradiso ya Mungu.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki