22 Kisha Yehova Mungu akasema: “Tazama mtu huyu amekuwa kama sisi kwa kujua mema na mabaya.+ Sasa ili asiunyooshe mkono wake na kuchukua pia matunda kutoka katika mti wa uzima,+ naye ale na kuishi milele,—”
24 Basi akamfukuza mtu huyo, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni makerubi+ na upanga unaowaka uliokuwa ukizunguka mfululizo ili kuilinda njia ya kwenda kwenye mti wa uzima.
7 Yule aliye na sikio na asikie yale ambayo roho inayaambia makutaniko:+ Yule atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kula matunda ya ule mti wa uzima,+ ulio katika paradiso ya Mungu.’