Mwanzo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo Yehova Mungu akachipusha ardhini kila mti wenye kupendeza macho na unaofaa kwa chakula na pia mti wa uzima+ katikati ya bustani na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.+
9 Kwa hiyo Yehova Mungu akachipusha ardhini kila mti wenye kupendeza macho na unaofaa kwa chakula na pia mti wa uzima+ katikati ya bustani na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.+