Mwanzo 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yehova akampiga Farao na watu wa nyumbani mwake kwa mapigo makali kwa sababu ya Sarai, mke wa Abramu.+ Zaburi 105:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+
17 Ndipo Yehova akampiga Farao na watu wa nyumbani mwake kwa mapigo makali kwa sababu ya Sarai, mke wa Abramu.+