Mwanzo 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.” Mwanzo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zaidi ya hilo, Yehova Mungu akapanda bustani kule Edeni,+ kuelekea mashariki; na humo akamweka huyo mtu aliyemuumba.+ Zaburi 115:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mbingu ni za Yehova,+Lakini dunia amewapa wanadamu.+
28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.”
8 Zaidi ya hilo, Yehova Mungu akapanda bustani kule Edeni,+ kuelekea mashariki; na humo akamweka huyo mtu aliyemuumba.+