12 Katika vizazi vyenu vyote, kila mwanamume miongoni mwenu mwenye umri wa siku nane ni lazima atahiriwe,+ yeyote anayezaliwa nyumbani mwenu na yeyote ambaye si mmoja wa uzao wenu* na yeyote aliyenunuliwa kwa pesa kutoka kwa mgeni.
8 “Pia, alimpa agano la tohara,+ naye Abrahamu akawa baba ya Isaka+ na kumtahiri siku ya nane,+ na Isaka akawa baba ya* Yakobo, naye Yakobo akawa baba ya wale vichwa 12 vya familia.*