Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Katika vizazi vyenu vyote, kila mwanamume miongoni mwenu mwenye umri wa siku nane ni lazima atahiriwe,+ yeyote anayezaliwa nyumbani mwenu na yeyote ambaye si mmoja wa uzao wenu* na yeyote aliyenunuliwa kwa pesa kutoka kwa mgeni.

  • Mwanzo 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Abrahamu akamtahiri Isaka mwanawe akiwa na umri wa siku nane, kama Mungu alivyokuwa amemwamuru.+

  • Luka 1:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Siku ya nane wakaja kumtahiri huyo mtoto,+ nao walitaka kumpa jina la baba yake, Zekaria.

  • Luka 2:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Baada ya siku nane, wakati ulipofika wa kumtahiri,+ wakampa jina Yesu, jina alilopewa na malaika kabla ya Maria kupata mimba.+

      22 Pia, wakati ulipofika wa kuwatakasa kulingana na Sheria ya Musa,+ wakamleta Yerusalemu ili kumtoa kwa Yehova,*

  • Yohana 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo Musa aliwapa tohara+—si kwamba inatoka kwa Musa, bali inatoka kwa mababu+—nanyi mnamtahiri mtu siku ya sabato.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki