Mambo ya Walawi 12:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie Waisraeli, ‘Mwanamke akipata mimba na kuzaa mtoto wa kiume, mwanamke huyo hatakuwa safi kwa siku saba, atakuwa kama anavyokuwa katika siku zake za hedhi.+ 3 Siku ya nane, mtoto huyo atatahiriwa.+
2 “Waambie Waisraeli, ‘Mwanamke akipata mimba na kuzaa mtoto wa kiume, mwanamke huyo hatakuwa safi kwa siku saba, atakuwa kama anavyokuwa katika siku zake za hedhi.+ 3 Siku ya nane, mtoto huyo atatahiriwa.+