Mwanzo 26:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Wafilisti wakachukua udongo na kuvifukia visima vyote ambavyo watumishi wa baba yake walikuwa wamechimba siku za Abrahamu.+ Mwanzo 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wachungaji wa Gerari wakaanza kugombana na wachungaji wa Isaka, wakisema: “Maji haya ni yetu!” Basi akakiita kisima hicho Eseki,* kwa sababu walikuwa wamegombana naye.
15 Kwa hiyo Wafilisti wakachukua udongo na kuvifukia visima vyote ambavyo watumishi wa baba yake walikuwa wamechimba siku za Abrahamu.+
20 Nao wachungaji wa Gerari wakaanza kugombana na wachungaji wa Isaka, wakisema: “Maji haya ni yetu!” Basi akakiita kisima hicho Eseki,* kwa sababu walikuwa wamegombana naye.