1 Wakorintho 11:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke alitoka katika mwanamume.+ 9 Isitoshe, mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.+ 1 Timotheo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.+
8 Kwa maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke alitoka katika mwanamume.+ 9 Isitoshe, mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.+