Mwanzo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Yehova Mungu akasema: “Si vema mwanamume huyu aendelee kuwa peke yake. Nitamuumbia msaidizi, awe kikamilisho chake.”+ Mwanzo 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Yehova Mungu akaufanya ubavu aliochukua kutoka kwa mwanamume uwe mwanamke, naye akamleta kwa mwanamume huyo.+ 1 Wakorintho 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke alitoka katika mwanamume.+
18 Kisha Yehova Mungu akasema: “Si vema mwanamume huyu aendelee kuwa peke yake. Nitamuumbia msaidizi, awe kikamilisho chake.”+
22 Na Yehova Mungu akaufanya ubavu aliochukua kutoka kwa mwanamume uwe mwanamke, naye akamleta kwa mwanamume huyo.+