Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Malaki 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana ninachukia* talaka,”+ asema Yehova Mungu wa Israeli, “na pia yule anayefunika vazi lake kwa ukatili,”* asema Yehova wa majeshi. “Nanyi jilindeni wenyewe kuhusiana na roho yenu, na hampaswi kutenda kwa hila.+

  • Mathayo 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na kusema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?+

  • Marko 10:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake,+ 8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja,’+ basi wao si wawili tena, bali mwili mmoja.

  • Waroma 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria kwa mume wake akiwa hai; lakini mume wake akifa, yuko huru kutoka katika sheria ya mume wake.+

  • 1 Wakorintho 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Je, hamjui kwamba yeyote ambaye ameungana na kahaba ni mwili mmoja naye? Kwa maana yeye anasema, “hao wawili watakuwa mwili mmoja.”+

  • Waefeso 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana* na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”+

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki