Mwanzo 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndiyo sababu kisima hicho kiliitwa Beer-lahai-roi.* (Kiko kati ya Kadeshi na Beredi.) Mwanzo 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baada ya kifo cha Abrahamu, Mungu aliendelea kumbariki Isaka mwanawe,+ na Isaka alikuwa akikaa karibu na Beer-lahai-roi.+
11 Baada ya kifo cha Abrahamu, Mungu aliendelea kumbariki Isaka mwanawe,+ na Isaka alikuwa akikaa karibu na Beer-lahai-roi.+