Mwanzo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha Yehova Mungu akasema: “Tazama mtu huyu amekuwa kama sisi kwa kujua mema na mabaya.+ Sasa ili asiunyooshe mkono wake na kuchukua pia matunda kutoka katika mti wa uzima,+ naye ale na kuishi milele,—”
22 Kisha Yehova Mungu akasema: “Tazama mtu huyu amekuwa kama sisi kwa kujua mema na mabaya.+ Sasa ili asiunyooshe mkono wake na kuchukua pia matunda kutoka katika mti wa uzima,+ naye ale na kuishi milele,—”