Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova akamwambia Abramu: “Ondoka katika nchi yako na kutoka kwa watu wako wa ukoo na nyumba ya baba yako uende katika nchi nitakayokuonyesha;+ 2 Nitakufanya kuwa taifa kubwa, nami nitakubariki, nami nitalifanya jina lako liwe kuu, nawe utakuwa baraka.+ 3 Nitawabariki wale wanaokubariki, nami nitawalaani wale wanaokulaani,+ na familia zote duniani hakika zitabarikiwa* kupitia kwako.”+

  • Matendo 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ninyi ndio wana wa manabii na wa agano ambalo Mungu alifanya na mababu zenu,+ alipomwambia Abrahamu: ‘Kupitia uzao wako,* familia zote za dunia zitabarikiwa.’+

  • Wagalatia 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo, andiko likitangulia kuona kwamba Mungu atawatangaza watu wa mataifa kuwa waadilifu kupitia imani, lilitangaza habari njema mwanzoni kwa Abrahamu, yaani: “Kupitia kwako mataifa yote yatabarikiwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki