Mwanzo 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Abrahamu akasema: “Ni kwa sababu nilisema moyoni mwangu, ‘Hakika watu wa mahali hapa hawamwogopi Mungu, nao wataniua kwa sababu ya mke wangu.’+
11 Abrahamu akasema: “Ni kwa sababu nilisema moyoni mwangu, ‘Hakika watu wa mahali hapa hawamwogopi Mungu, nao wataniua kwa sababu ya mke wangu.’+