Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Alipokaribia kuingia Misri, akamwambia Sarai mke wake: “Tafadhali sikiliza! Ninajua kwamba wewe ni mwanamke mrembo sana.+ 12 Kwa hiyo Wamisri watakapokuona, hakika watasema, ‘Huyu ni mke wake.’ Halafu wataniua, lakini wewe watakuacha hai.

  • Mwanzo 26:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wanaume wa huko walipomuuliza kuhusu mke wake, alikuwa akisema: “Huyu ni dada yangu.”+ Aliogopa kusema, “Ni mke wangu,” kwa kuwa alisema, “Huenda wanaume hawa wakaniua kwa sababu ya Rebeka,” kwa maana alikuwa mrembo sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki