Mwanzo 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wanaume wa huko walipomuuliza kuhusu mke wake, alikuwa akisema: “Huyu ni dada yangu.”+ Aliogopa kusema, “Ni mke wangu,” kwa kuwa alisema, “Huenda wanaume hawa wakaniua kwa sababu ya Rebeka,” kwa maana alikuwa mrembo sana.+
7 Wanaume wa huko walipomuuliza kuhusu mke wake, alikuwa akisema: “Huyu ni dada yangu.”+ Aliogopa kusema, “Ni mke wangu,” kwa kuwa alisema, “Huenda wanaume hawa wakaniua kwa sababu ya Rebeka,” kwa maana alikuwa mrembo sana.+