Mwanzo 24:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kisha akasema: “Mimi ni mtumishi wa Abrahamu.+ 35 Na Yehova amembariki sana bwana wangu, na amemtajirisha sana kwa kumpa kondoo na ng’ombe, fedha na dhahabu, watumishi wa kiume na wa kike, na ngamia na punda.+
34 Kisha akasema: “Mimi ni mtumishi wa Abrahamu.+ 35 Na Yehova amembariki sana bwana wangu, na amemtajirisha sana kwa kumpa kondoo na ng’ombe, fedha na dhahabu, watumishi wa kiume na wa kike, na ngamia na punda.+