Mwanzo 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Mungu akasema: “Mke wako Sara hakika atakuzalia mwana, nawe unapaswa kumpa jina Isaka.*+ Nami nitaimarisha agano langu pamoja naye liwe agano la milele kwa uzao wake* baada yake.+ Zaburi 105:9-11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Agano alilofanya na Abrahamu,+Na kiapo alichomwapia Isaka,+10 Alichotoa kama amri kwa YakoboNa kama agano la kudumu kwa Israeli,11 Akisema, “Nitakupa nchi ya Kanaani+Kuwa urithi wako uliogawiwa.”+
19 Ndipo Mungu akasema: “Mke wako Sara hakika atakuzalia mwana, nawe unapaswa kumpa jina Isaka.*+ Nami nitaimarisha agano langu pamoja naye liwe agano la milele kwa uzao wake* baada yake.+
9 Agano alilofanya na Abrahamu,+Na kiapo alichomwapia Isaka,+10 Alichotoa kama amri kwa YakoboNa kama agano la kudumu kwa Israeli,11 Akisema, “Nitakupa nchi ya Kanaani+Kuwa urithi wako uliogawiwa.”+