Mwanzo 27:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yakobo akamwambia Rebeka mama yake: “Lakini Esau ndugu yangu ni mwanamume mwenye nywele nyingi,+ na ngozi yangu ni laini. 12 Itakuwaje baba akinigusa?+ Bila shaka ataona ninamdhihaki, nami nitajiletea laana badala ya baraka.”
11 Yakobo akamwambia Rebeka mama yake: “Lakini Esau ndugu yangu ni mwanamume mwenye nywele nyingi,+ na ngozi yangu ni laini. 12 Itakuwaje baba akinigusa?+ Bila shaka ataona ninamdhihaki, nami nitajiletea laana badala ya baraka.”