Mwanzo 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Namna gani baba yangu akinipapasa?+ Ndipo hakika nitakuwa machoni pake kama mtu anayefanya mzaha,+ nami hakika nitajiletea laana wala si baraka.”+
12 Namna gani baba yangu akinipapasa?+ Ndipo hakika nitakuwa machoni pake kama mtu anayefanya mzaha,+ nami hakika nitajiletea laana wala si baraka.”+