5 Na Yehova Mungu wako hakutaka kumsikiliza Balaamu;+ lakini Yehova Mungu wako kwa ajili yako aligeuza ile laana ikawa baraka,+ kwa sababu Yehova Mungu wako alikupenda.+
30“Na itatukia kwamba wakati ambapo maneno yote haya yatakuja juu yako, baraka+ na laana,+ ambazo nimeweka mbele yako, nawe umeyarudisha moyoni+ mwako kati ya mataifa yote ambako Yehova Mungu wako amekutawanya,+