2 Wakorintho 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini kwa njia fulani, ninaogopa kwamba kama nyoka alivyomshawishi Hawa kwa ujanja,+ huenda akili zenu zikapotoshwa kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi* unaomfaa Kristo.+ 1 Timotheo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Pia, Adamu hakudanganywa, bali mwanamke alidanganywa kabisa+ akawa mtenda dhambi.
3 Lakini kwa njia fulani, ninaogopa kwamba kama nyoka alivyomshawishi Hawa kwa ujanja,+ huenda akili zenu zikapotoshwa kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi* unaomfaa Kristo.+