Mwanzo 25:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha wa kwanza akatoka, mwili wake wote ulikuwa mwekundu kama vazi la manyoya,+ kwa hiyo wakampa jina Esau.*+ Mwanzo 25:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo Yakobo akamwambia: “Kwanza niuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza!”+ Waebrania 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na muwe waangalifu ili miongoni mwenu kusiwe na mwasherati* wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau, aliyetoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+
25 Kisha wa kwanza akatoka, mwili wake wote ulikuwa mwekundu kama vazi la manyoya,+ kwa hiyo wakampa jina Esau.*+
16 na muwe waangalifu ili miongoni mwenu kusiwe na mwasherati* wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau, aliyetoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+