Mwanzo 26:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Esau alipokuwa na umri wa miaka 40, alimwoa Yudithi binti ya Beeri Mhiti na pia Basemathi binti ya Eloni Mhiti.+ 35 Walikuwa chanzo cha huzuni kubwa* kwa Isaka na Rebeka.+ Mwanzo 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Esau akatambua kwamba Isaka baba yake hakupendezwa na mabinti wa Kanaani,+
34 Esau alipokuwa na umri wa miaka 40, alimwoa Yudithi binti ya Beeri Mhiti na pia Basemathi binti ya Eloni Mhiti.+ 35 Walikuwa chanzo cha huzuni kubwa* kwa Isaka na Rebeka.+