Mwanzo 27:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Ninachukia maisha yangu kwa sababu ya mabinti wa Hethi.+ Yakobo akioa mke kutoka kwa mabinti wa Hethi, kama mabinti hawa wa nchi hii, maisha yangu yana faida gani?”+ Mwanzo 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Esau akatambua kwamba Isaka baba yake hakupendezwa na mabinti wa Kanaani,+
46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Ninachukia maisha yangu kwa sababu ya mabinti wa Hethi.+ Yakobo akioa mke kutoka kwa mabinti wa Hethi, kama mabinti hawa wa nchi hii, maisha yangu yana faida gani?”+