Mwanzo 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kila mara aliposema, ‘Wanyama wenye madoadoa watakuwa mshahara wako,’ kundi lote lilizaa wanyama wenye madoadoa; na aliposema, ‘Wanyama wenye mistarimistari watakuwa mshahara wako,’ kundi lote lilizaa wanyama wenye mistarimistari.+
8 Kila mara aliposema, ‘Wanyama wenye madoadoa watakuwa mshahara wako,’ kundi lote lilizaa wanyama wenye madoadoa; na aliposema, ‘Wanyama wenye mistarimistari watakuwa mshahara wako,’ kundi lote lilizaa wanyama wenye mistarimistari.+