Mwanzo 27:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Basi Isaka baba yake akamwambia: “Tazama, makao yako yatakuwa mbali na udongo wenye rutuba duniani, na mbali na umande wa mbingu.+ Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo Esau akahamia eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ndiye Edomu.+ Kumbukumbu la Torati 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msizozane nao,* kwa sababu sitawapa sehemu yoyote ya nchi yao, hata mahali panapotoshea wayo wa mguu, kwa sababu nimempa Esau Mlima Seiri uwe miliki yake.+ Yoshua 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 naye Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye nikampa Esau Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+
39 Basi Isaka baba yake akamwambia: “Tazama, makao yako yatakuwa mbali na udongo wenye rutuba duniani, na mbali na umande wa mbingu.+
5 Msizozane nao,* kwa sababu sitawapa sehemu yoyote ya nchi yao, hata mahali panapotoshea wayo wa mguu, kwa sababu nimempa Esau Mlima Seiri uwe miliki yake.+
4 naye Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye nikampa Esau Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+