Mwanzo 28:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yakobo akaondoka Beer-sheba na kuendelea na safari kuelekea Harani.+ Mwanzo 30:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kwa hiyo Yakobo akatajirika sana, akawa na makundi makubwa ya wanyama na watumishi wa kiume na wa kike na ngamia na punda.+ Mwanzo 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Yakobo akaogopa sana na kushikwa na wasiwasi.+ Basi akawagawa katika kambi mbili watu aliokuwa nao, na pia ng’ombe, ngamia, na mifugo mingine.
43 Kwa hiyo Yakobo akatajirika sana, akawa na makundi makubwa ya wanyama na watumishi wa kiume na wa kike na ngamia na punda.+
7 Ndipo Yakobo akaogopa sana na kushikwa na wasiwasi.+ Basi akawagawa katika kambi mbili watu aliokuwa nao, na pia ng’ombe, ngamia, na mifugo mingine.