18 Baada ya kuondoka Padan-aramu,+ Yakobo akafika salama salimini kwenye jiji la Shekemu+ katika nchi ya Kanaani,+ naye akapiga kambi karibu na jiji hilo. 19 Kisha akanunua kisehemu fulani cha shamba kutoka kwa wana wa Hamori, baba ya Shekemu, kwa vipande 100 vya fedha, akapiga hema lake hapo.+