Mwanzo 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ hadi Sodoma, Gomora,+ Adma, na Seboiimu,+ karibu na Lasha. Mwanzo 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Abramu akasafiri nchini mpaka eneo la Shekemu,+ karibu na miti mikubwa ya More.+ Wakati huo Wakanaani walikuwa katika nchi hiyo.
19 Basi mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ hadi Sodoma, Gomora,+ Adma, na Seboiimu,+ karibu na Lasha.
6 Abramu akasafiri nchini mpaka eneo la Shekemu,+ karibu na miti mikubwa ya More.+ Wakati huo Wakanaani walikuwa katika nchi hiyo.