-
Kutoka 26:15-18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “Utatengeneza viunzi vya mbao+ za mshita vilivyo wima kwa ajili ya hema hilo.+ 16 Kila kiunzi kitakuwa na urefu wa mikono kumi na upana wa mkono mmoja na nusu. 17 Kila kiunzi kitakuwa na ndimi mbili* zilizounganishwa pamoja. Hivyo ndivyo utakavyotengeneza viunzi vyote vya hema la ibada. 18 Utatengeneza viunzi 20 kwa ajili ya upande wa kusini wa hema la ibada.
-