-
Kutoka 36:20-23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Kisha akatengeneza viunzi vya mbao za mshita+ vilivyo wima kwa ajili ya hema hilo.+ 21 Kila kiunzi kilikuwa na urefu wa mikono kumi na upana wa mkono mmoja na nusu. 22 Kila kiunzi kilikuwa na ndimi mbili* zilizounganishwa pamoja. Hivyo ndivyo alivyotengeneza viunzi vyote vya hema la ibada. 23 Kwa hiyo alitengeneza viunzi 20 kwa ajili ya upande wa kusini wa hema la ibada.
-