25 Kisha utumie manukato hayo kutengeneza mafuta matakatifu ya kutia mafuta; manukato hayo yanapaswa kuchanganywa pamoja kwa ustadi.*+ Yatakuwa mafuta matakatifu ya kutia mafuta.
9 Kisha uchukue mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na kulitia mafuta hema la ibada na vitu vyote vilivyomo,+ nawe ulitakase pamoja na vyombo vyake vyote, ili liwe takatifu.