6 Pia, nimemchagua Oholiabu+ mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani ili amsaidie, nami ninaweka hekima katika mioyo ya wote wenye ustadi,* ili watengeneze kila kitu nilichokuamuru:+
2 Kisha Musa akamwita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yehova aliweka hekima moyoni mwake,+ kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kujitolea kufanya kazi.+