16 “Mlango wa ua utakuwa na pazia lenye urefu wa mikono 20 lililotengenezwa kwa nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora kilichosokotwa na kufumwa,+ pamoja na nguzo nne na vikalio vyake vinne.+
18 Pazia la mlango wa ua lilifumwa kwa nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora kilichosokotwa. Lilikuwa na urefu wa mikono 20 na kimo cha mikono 5, sawa na kimo cha mapazia ya ua yanayoning’inia.+