Kutoka 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mara moja wasimamizi hao wakawaambia: “Yehova na awatazame ninyi na kuwahukumu, kwa maana mmefanya Farao na watumishi wake watudharau* nanyi mmeweka upanga mkononi mwao ili watuue.”+ Kutoka 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Baadaye Musa akawapa Waisraeli ujumbe huo, lakini hawakumsikiliza Musa kwa sababu walikuwa wamevunjika moyo na kwa sababu ya utumwa wa kikatili.+
21 Mara moja wasimamizi hao wakawaambia: “Yehova na awatazame ninyi na kuwahukumu, kwa maana mmefanya Farao na watumishi wake watudharau* nanyi mmeweka upanga mkononi mwao ili watuue.”+
9 Baadaye Musa akawapa Waisraeli ujumbe huo, lakini hawakumsikiliza Musa kwa sababu walikuwa wamevunjika moyo na kwa sababu ya utumwa wa kikatili.+