Kutoka 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa Musa akamwambia Yehova: “Ee Yehova, niwie radhi, lakini sijawahi kuwa msemaji mwenye ufasaha, tangu zamani na hata baada ya wewe kuzungumza nami mtumishi wako, kwa maana mimi si msemaji mzuri* na ulimi wangu ni mzito.”+ Matendo 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri. Kwa kweli, alikuwa mwenye nguvu katika maneno na matendo yake.+
10 Sasa Musa akamwambia Yehova: “Ee Yehova, niwie radhi, lakini sijawahi kuwa msemaji mwenye ufasaha, tangu zamani na hata baada ya wewe kuzungumza nami mtumishi wako, kwa maana mimi si msemaji mzuri* na ulimi wangu ni mzito.”+
22 Basi Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri. Kwa kweli, alikuwa mwenye nguvu katika maneno na matendo yake.+