Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini Musa akamwambia Yehova: “Tazama! Waisraeli hawajanisikiliza,+ Farao atanisikilizaje mimi, mtu asiye na ufasaha?”*+

  • Hesabu 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Musa alikuwa mtu mpole zaidi kuliko watu wote*+ duniani.

  • Yeremia 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!

      Mimi sijui kuzungumza,+ kwa maana mimi ni mvulana* tu.”+

  • Matendo 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri. Kwa kweli, alikuwa mwenye nguvu katika maneno na matendo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki