Kutoka 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini Musa akamwambia Yehova: “Tazama! Waisraeli hawajanisikiliza,+ Farao atanisikilizaje mimi, mtu asiye na ufasaha?”*+ Hesabu 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Musa alikuwa mtu mpole zaidi kuliko watu wote*+ duniani. Yeremia 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Mimi sijui kuzungumza,+ kwa maana mimi ni mvulana* tu.”+ Matendo 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri. Kwa kweli, alikuwa mwenye nguvu katika maneno na matendo yake.+
12 Lakini Musa akamwambia Yehova: “Tazama! Waisraeli hawajanisikiliza,+ Farao atanisikilizaje mimi, mtu asiye na ufasaha?”*+
6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Mimi sijui kuzungumza,+ kwa maana mimi ni mvulana* tu.”+
22 Basi Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri. Kwa kweli, alikuwa mwenye nguvu katika maneno na matendo yake.+