Kutoka 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, Musa akasema mbele za Yehova, na kumwambia: “Tazama! Wana wa Israeli hawakunisikiliza;+ Farao atawezaje kunisikiliza,+ kwa maana mimi sijatahiriwa midomo?”+ Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:12 Mnara wa Mlinzi,12/15/2015, uku. 15
12 Hata hivyo, Musa akasema mbele za Yehova, na kumwambia: “Tazama! Wana wa Israeli hawakunisikiliza;+ Farao atawezaje kunisikiliza,+ kwa maana mimi sijatahiriwa midomo?”+