Hesabu 26:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni,+ ukoo wa Wahebroni,+ ukoo wa Wamali,+ ukoo wa Wamushi,+ ukoo wa Wakora.+ Kohathi alikuwa baba ya Amramu.+ 1 Mambo ya Nyakati 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu mwana wa Kora, na ndugu zake wa ukoo wake,* Wakora, walisimamia majukumu ya utumishi wa walinzi wa milango ya hema, na baba zao walikuwa wakisimamia kambi ya Yehova wakiwa walinzi wa njia ya kuingilia.
58 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni,+ ukoo wa Wahebroni,+ ukoo wa Wamali,+ ukoo wa Wamushi,+ ukoo wa Wakora.+ Kohathi alikuwa baba ya Amramu.+
19 Na Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu mwana wa Kora, na ndugu zake wa ukoo wake,* Wakora, walisimamia majukumu ya utumishi wa walinzi wa milango ya hema, na baba zao walikuwa wakisimamia kambi ya Yehova wakiwa walinzi wa njia ya kuingilia.