Kutoka 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi. Hizo ndizo zilizokuwa koo za Walawi, kulingana na nasaba ya koo zao.+ Hesabu 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Familia ya Wamali na familia ya Wamushi zilizotokana na Merari. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Merari.+
19 Wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi. Hizo ndizo zilizokuwa koo za Walawi, kulingana na nasaba ya koo zao.+
33 Familia ya Wamali na familia ya Wamushi zilizotokana na Merari. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Merari.+