Hesabu 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wana wa Merari kulingana na familia zao walikuwa Mali+ na Mushi.+ Hizo ndizo zilizokuwa familia za Walawi kila mmoja kulingana na ukoo wake.* Hesabu 26:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni,+ ukoo wa Wahebroni,+ ukoo wa Wamali,+ ukoo wa Wamushi,+ ukoo wa Wakora.+ Kohathi alikuwa baba ya Amramu.+
20 Wana wa Merari kulingana na familia zao walikuwa Mali+ na Mushi.+ Hizo ndizo zilizokuwa familia za Walawi kila mmoja kulingana na ukoo wake.*
58 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni,+ ukoo wa Wahebroni,+ ukoo wa Wamali,+ ukoo wa Wamushi,+ ukoo wa Wakora.+ Kohathi alikuwa baba ya Amramu.+