Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Unapaswa kurudia kila jambo nitakalokuamuru, na Haruni ndugu yako atazungumza na Farao, naye Farao atawaruhusu Waisraeli watoke katika nchi yake.

  • Kutoka 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini Farao hatawasikiliza ninyi, nami nitauweka mkono wangu juu ya Misri na kuyatoa makundi yangu makubwa,* watu wangu, Waisraeli, kutoka katika nchi ya Misri kwa hukumu kubwa.+

  • Kutoka 12:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Mwishoni mwa miaka hiyo 430, siku hiyohiyo, makundi yote makubwa ya watu wa* Yehova yalitoka nchini Misri.

  • Matendo 7:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Huyo Musa ambaye walimkana wakisema: ‘Ni nani aliyekuweka uwe mtawala na mwamuzi?’+ ndiye ambaye Mungu alimtuma+ akiwa mtawala na mkombozi kupitia malaika aliyemtokea katika kichaka cha miiba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki