Waebrania 11:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa imani, Musa alipokuwa mtu mzima,+ alikataa kuitwa mwana wa binti ya Farao,+ 25 akachagua kuteswa pamoja na watu wa Mungu badala ya kufurahia dhambi kwa muda,
24 Kwa imani, Musa alipokuwa mtu mzima,+ alikataa kuitwa mwana wa binti ya Farao,+ 25 akachagua kuteswa pamoja na watu wa Mungu badala ya kufurahia dhambi kwa muda,