Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Musa akawaambia watu: “Kumbukeni siku hii mliyotoka Misri,+ kutoka katika nyumba ya utumwa, kwa sababu kwa mkono wenye nguvu Yehova aliwatoa katika nchi hii.+ Kwa hiyo hampaswi kula kitu chochote kilichotiwa chachu.

  • Kutoka 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na siku hiyo unapaswa kumwambia mwanao, ‘Ni kwa sababu ya mambo ambayo Yehova alinitendea nilipotoka Misri.’+

  • Kumbukumbu la Torati 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ila tu muwe waangalifu na kujihadhari sana, ili msisahau mambo ambayo macho yenu yameona na ili yasiondoke moyoni mwenu siku zote za maisha yenu. Ni lazima pia muwaambie wana wenu na wajukuu wenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 6:20-22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Wakati ujao, mwana wako akikuuliza, ‘Vikumbusho, masharti, na sheria* ambazo Yehova Mungu wetu ametuamuru tushike zinamaanisha nini?’ 21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa wa Farao kule Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu. 22 Basi mbele ya macho yetu, Yehova aliendelea kufanya ishara na miujiza mikubwa na iliyoleta uharibifu nchini Misri,+ na pia kwa Farao na nyumba yake yote.+

  • Zaburi 44:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu wenyewe,

      Mababu zetu wametusimulia,+

      Mambo uliyotimiza katika siku zao,

      Siku za zamani za kale.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki