Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kisha Abrahamu akaoa mke mwingine, naye aliitwa Ketura. 2 Baada ya muda Ketura akamzalia Abrahamu watoto hawa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani,+ Ishbaki, na Shua.+

  • Kutoka 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Musa akawa mchungaji wa kondoo wa Yethro,+ baba mkwe wake, kuhani wa Midiani. Alipokuwa akiwaongoza kondoo kuelekea upande wa magharibi wa nyika, hatimaye alifika kwenye mlima wa Mungu wa kweli ulioitwa Horebu.+

  • Kutoka 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi Yehova akamwambia Musa huko Midiani: “Nenda, rudi Misri, kwa sababu watu wote waliotaka kukuua* wamekufa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki