Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hawapaswi kuacha chochote mpaka asubuhi,+ wala hawapaswi kuvunja mfupa wowote wa dhabihu hiyo.+ Wanapaswa kuitayarisha kulingana na sheria zote za Pasaka.

  • Zaburi 34:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwadilifu ana matatizo mengi,*+

      Lakini Yehova humwokoa kutoka katika matatizo hayo yote.+

      ש [Shin]

      20 Anailinda mifupa yake yote;

      Haujavunjwa hata mmoja.+

  • Yohana 19:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lakini walipomfikia Yesu, waliona kwamba tayari amekufa, kwa hiyo hawakuivunja miguu yake.

  • Yohana 19:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa kweli, mambo hayo yalitendeka ili kutimiza andiko linalosema: “Hakuna mfupa wake hata mmoja utakaovunjwa.”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki