Kutoka 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitashuka huko ili niwaokoe kutoka mikononi mwa Wamisri+ na kuwapandisha kutoka katika nchi hiyo na kuwapeleka katika nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ eneo la Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+ Kutoka 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Sikilizeni mambo ninayowaamuru leo.+ Tazama, ninawafukuza Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi+ kutoka mbele yenu.
8 Nitashuka huko ili niwaokoe kutoka mikononi mwa Wamisri+ na kuwapandisha kutoka katika nchi hiyo na kuwapeleka katika nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ eneo la Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+
11 “Sikilizeni mambo ninayowaamuru leo.+ Tazama, ninawafukuza Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi+ kutoka mbele yenu.