Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:15-17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,+ 16 na pia Wayebusi,+ Waamori,+ Wagirgashi, 17 Wahivi,+ Waarkia, Wasini,

  • Kutoka 33:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Ondoka mahali hapa pamoja na watu uliowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Safirini mpaka nchi niliyomwapia Abrahamu, Isaka, na Yakobo, niliposema, ‘Nitaupa uzao wenu* nchi hii.’+ 2 Nitamtuma malaika awatangulie+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Yehova Mungu wenu atakapowaleta katika nchi mnayokaribia kuingia na kuimiliki,+ atayaondoa pia mataifa makubwa kutoka mbele yenu:+ Wahiti, Wagirgashi, Waamori,+ Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ mataifa saba makubwa zaidi na yenye nguvu kuliko ninyi.+

  • Yoshua 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha Yoshua akasema: “Kwa njia hii mtajua kwamba Mungu aliye hai yumo miongoni mwenu,+ na bila shaka atawafukuza mbele yenu Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagirgashi, Waamori, na Wayebusi.+

  • Nehemia 9:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wewe ndiye Yehova Mungu wa kweli, uliyemchagua Abramu,+ ukamtoa katika jiji la Uru+ la Wakaldayo na ukampa jina Abrahamu.+ 8 Nawe ukaona moyo wake ukiwa mwaminifu mbele zako;+ basi ukafanya agano naye ili umpe nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wayebusi, na Wagirgashi, ili kuupa uzao wake* nchi hiyo;+ nawe ukatimiza ahadi zako, kwa maana wewe ni mwadilifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki