-
Kutoka 33:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
33 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Ondoka mahali hapa pamoja na watu uliowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Safirini mpaka nchi niliyomwapia Abrahamu, Isaka, na Yakobo, niliposema, ‘Nitaupa uzao wenu* nchi hii.’+ 2 Nitamtuma malaika awatangulie+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+
-
-
Nehemia 9:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Wewe ndiye Yehova Mungu wa kweli, uliyemchagua Abramu,+ ukamtoa katika jiji la Uru+ la Wakaldayo na ukampa jina Abrahamu.+ 8 Nawe ukaona moyo wake ukiwa mwaminifu mbele zako;+ basi ukafanya agano naye ili umpe nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wayebusi, na Wagirgashi, ili kuupa uzao wake* nchi hiyo;+ nawe ukatimiza ahadi zako, kwa maana wewe ni mwadilifu.
-